Katibu wa CUF wilaya ya Tanga, Thobias Haule, amefunguka kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa pamoja na baadhi ya wagombea wao kuenguliwa na wasimamizi wa uchaguzi kutokana na sababu mbali mbali.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI….USISAHAU KUSUBSCRIBE
Mama Diamond, Bi Sandra amedai bado anatamani kupata wajukuu wengi zaidi kutoka kwa mtoto Diamond Platnumz ambaye wiki hii alifanya sherehe ya arobaini ya...
Msanii wa muziki, Roma Mkatoliki ambaye kwa sasa yupo Marekani kwaajili ya mapunziko baada ya kuachia tu wimbo wake ‘Naitwa Roma’, amefunguka kuzungumzia tetesi...
Mtuhumiwa aliyefahamika kwa majina ya Mstafa Msola maarufu kwa jina (Hitlar) miongoni mwa wafungwa 70 aliyeachiwa siku ya jana mara baada ya msamaha wa...