News
Mwakinyo awaasa mama lishe kujilinda na kuthibiti magonjwa ya milipuko kwa kunawa mikono
NA VICTOR MASANGU, PWANI
Mbunge wa Jimbo la Kibaha Vijijini Michael Mwakamo ameiasa jamii pamoja na kundi la mama lishe kuhakikishe kwamba wanazingatia maelekezo yanayotolewa na wataalamu wa afya ikiwemo suala zima la unawaji wa mikono kwa kutumia maji safi na salama yanayotiririka kwa kutumia sabuni ili kuepukana kabisa na wimbi la magonjwa ya milipuko ambayo ni hatari kwa afya za wananchi.
Akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na mikakati yake aliyojiwekea katika suala zima la kuboresha sekta ya afya Mwakamo alibainisha kwamba kwa sasa ameweka mikakati madhubuti ya kuweza kushirikiana na wataalamu wa afya kwa lengo la kutoa elimu na mafunzo juu ya umuhimu wa kunawa mikono hasa katika maeneo yenye mikusanyiko mingi ya watu.
“Mimi kama Mbunge wa jimbo la Kibaha mjini napenda kuchukua fursa hii kuwahimiza wananchi wangu wote pamoja na mama lishe kuweka mazingira ya kufanya usafi katika maeneo ambayo wanafanyia kazi lengo ikiwa ni kujilinda wao wenyewe pamoja na walaji kuondokana na magonjwa ya mlipuko,”alisema Mwakamo.
Pia Mbunge huyo aliongeza kuwa suala la uchafuzi wa mazingira ni hatari sana katika jamii ambayo inatuzunguka kwani linaweza kuleta madhara makubwa kwa baadhi ya wananchi kujikuta wanapata magonjwa hayo ya mlipuko ambayo chanzo chake kikubwa kinatokana na baadhi ya wananchi kutupa taka ovyo kitu ambacho sio kizuri kabisa kwa afya ya binadamu.
Pi aliipongeza serikali ya awamu ya tano pamoja na wataalamu mbali mbali wa masuala ya afya kwa kuelekeza nguvu zao kubwa katika kuhakikisha suala la usimamizi wa usafi wa mazingira linafanyiwa kazi kuanzia katika ngazi za chini hadi juu na kuwepa kuwapa fursa wananchi waweze kuendsha shughuli zao mbali mbali katika hali ya usafi.
Aidha Mwakamo alisema kuwa katika kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu yatano katika mpango wake wa kufanya usafi wa mazingira atahakikisha kwamba anashirikiana bega kwa began a wananchi wa jimbo lake la kuendesha zoezi la mara kwa mara katika maeneo ya makazi ya watu ili kuweza kusafisha mazingira yawe katika hali ya usafi.
“Kitu kikubwa mimi nitaweka utaratibu mzuri wa kuendelea kushirikiana na wananchi wa jimbo langu kuanzia ngazi za vijiji kuendesha zoezi la usafi wa mara kwa mara pamoja na kuchoma taka zote ambazo zinakuwa zimezagaa lengo ikiwa ni kufanya kuondokana kabisa na magonjwa ya milipuko ambayo yanaweza kujitokeza kama vile kuumwa na matumbo, kuhala pamoja na mengineyo,”alisisitiza Mwakamo.
Katika hatua nyingine aliongeza kuwa wananchi wanapaswa kunywa maji safi na salama ambayo tayari yanakuwa yamechemshwa na kuuwa vijidudu ambayo vipo na kwamba itaweza kuwasaidia kwa kiasi kikubwa kuendelea kujishughulisha katika kazi zao mbali mbali bila ya kuwa na changamoto ya kuumwa na magonjwa ya aina mbali mbali.
Ireland
Revenue seize €32,000-worth of drugs at Dublin Mail Centre
Over 1.5kg of illegal drugs, including herbal cannabis and cannabis infused ‘jelly sweets’ were discovered with the assistance of detector dogs Bailey and Sam.
The drugs were found in parcels which had come from the US and UK which had been declared as clothing, tea, a backpack, an incense burner, and a candle set.
The parcels were being sent to various addresses in Dublin, Offaly, Kilkenny, Clare and Kildare.
Revenue say investigations are ongoing and anyone with information regarding smuggling is asked to contact the Revenue Confidential Line on 1800 295 295.
News
COVID-19: Ganduje issues stern warning as 19 members of one family test positive
Governor of Kano, Abdullahi Ganduje, has warned residents of the state, especially market community to strictly obey the COVID 19 protocols.
The Governor said this on Thursday at a COVID 19 stakeholders’ meeting with market community leaders in the state at the Government House.
The governor, who was represented by his deputy, Nasiru Gawuna, said 19 family members tested positive to COVID-19 after its breadwinner recently died of the virus.
“This COVID-19 pandemic is real and we have to seriously fight it.
“There was a house where the breadwinner died of COVID-19 recently and when the family members were tested, 19 of them were found to be positive,” Ganduje said.
He warned that the second wave is worse than the first and advised residents to adhere to protocols in order to prevent another lockdown as well as closure of markets in the state.
“We all know that it is the marketers that suffer most whenever there is a lockdown especially those who have to work to feed on a daily basis.
“Adhere to the necessary COVID-19 protocols to avoid the spread of the pandemic in the state and to avoid a situation that will necessitate the lockdown again,” the governor added.
Ganduje also promised to distribute 100,000 facemasks to the market community.
COVID-19: Ganduje issues stern warning as 19 members of one family test positive